D-Supreme
D-Supreme
D-Supreme
D-Supreme
D-Supreme
D-Supreme

D-Supreme

🌞 D-Supreme
Virutubisho hivi vimebuniwa mahsusi ili kutoa Vitamin D3 ya kutosha pamoja na virutubisho vingine vinavyosaidia afya ya mifupa, kinga ya mwili, moyo na mishipa ya damu.

βœ… Faida Kuu za D-Supreme
1. Afya ya Mifupa na Maungio

-Huongeza ufyonzwaji wa Calcium na Phosphorus mwilini, hivyo kuimarisha mifupa na kuzuia udhaifu (osteoporosis).

-Hupunguza hatari ya maumivu ya viungo na maungio kutokana na upungufu wa Vitamin D.

2. Kinga ya Mwili

-Vitamin D3 inachochea uzalishaji wa seli za kinga na kupunguza maambukizi ya mara kwa mara.

-Husaidia mwili kupambana na virusi na bakteria wanaoathiri mapafu, koo, na mfumo wa upumuaji.

3. Afya ya Moyo na Mishipa ya Damu

-Hupunguza uvimbe kwenye mishipa ya damu na kusaidia udhibiti wa shinikizo la damu (BP).

-Hupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa kuimarisha afya ya mishipa.

4. Nguvu na Uchovu

-Husaidia kuondoa dalili za uchovu, maumivu ya misuli, na udhaifu wa mwili unaosababishwa na upungufu wa Vitamin D.

-Huongeza nguvu na uimara wa mwili kila siku.

5. Afya ya Ubongo na Mood

-Vitamin D3 inahusiana moja kwa moja na utulivu wa akili, husaidia kupunguza msongo wa mawazo na huzuni.

-Inasaidia kumbukumbu na afya ya ubongo.

6. Afya ya Ngozi na Uzalishaji wa Homoni
-Inasaidia ngozi kuwa imara na yenye mwanga wa asili.
-Huweka sawa homoni zinazohusiana na uzazi na mzunguko wa hedhi.

πŸ“¦ Dozi na Gharama
-Mwezi 1 πŸ‘‰ Tsh 70,000/=
-Miezi 3 πŸ‘‰ Tsh 210,000/=

πŸ“ž Piga au WhatsApp +255 767 716 093 kupata sasa hivi.

πŸ‘‰Ili kupata matokeo bora, tumia kwa miezi 3 mfululizo bila kusita.
TShΒ 59,500.00

TShΒ 90,000.00