Afya ya NGOZI na UZAZI

Afya ya NGOZI na UZAZI

ANGEL E + CHOLEDUZ OMEGA SUPREME

(Pack ya Ngozi na Uzazi)

๐ŸŒธ Faida za Angel E
1. Kwa Ngozi

-Anti-oxidant ya nguvu โ€“ Vitamin E ndani yake hulinda ngozi dhidi ya uharibifu wa free radicals, hivyo kupunguza kuzeeka mapema, mikunjo na makunyanzi.

-Ngozi nyororo na yenye mngโ€™ao โ€“ Husaidia kuongeza unyevunyevu na kupunguza ukavu, hasa kwa wanawake baada ya miaka 30 au walio na homoni kushuka.

-Kupunguza alama za uzee na makovu โ€“ Hurekebisha seli za ngozi zilizoharibika, hivyo kupunguza makovu na mabaka meusi usoni au mwilini.

-Kulinda ngozi dhidi ya jua โ€“ Huimarisha kinga ya ngozi dhidi ya madhara ya miale ya UV.

2. Kwa Uzazi

-Kusawazisha homoni za kike โ€“ Husaidia kurekebisha viwango vya estrogen, progesterone na homoni zingine muhimu kwa uzazi.

-Kuboresha ute wa uzazi โ€“ Huongeza ute mzuri (cervical mucus) unaowezesha mbegu kusafiri haraka hadi kwenye yai.

-Kuboresha afya ya uke โ€“ Hupunguza ukavu ukeni na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

-Kulinda na kupevusha mayai โ€“ Hufanya mayai yapevuke vizuri na kuwa na ubora wa juu kwa ajili ya urutubishaji.

๐Ÿซ€ Faida za Choleduz Omega Supreme
1. Kwa Ngozi

-Asidi muhimu za mafuta (Omega-3,6,9) โ€“ Hupunguza uvimbe kwenye ngozi, chunusi, wekundu na magonjwa ya ngozi ya muda mrefu.

-Kungโ€™arisha ngozi โ€“ Huimarisha mzunguko wa damu, kufanya ngozi ipate oksijeni na virutubisho vizuri zaidi.

-Kulinda ngozi kutokana na ukavu na makunyanzi โ€“ Omega hufanya ngozi iwe laini na yenye mvuto.

-Kupunguza fangasi na maambukizi โ€“ Kwa kuimarisha kinga ya mwili, hupunguza vipele vya mara kwa mara na muwasho kwenye ngozi.

2. Kwa Uzazi

-Kuboresha mzunguko wa damu kwenye via vya uzazi โ€“ Hufanya kizazi, mayai na ovari zipate damu safi na yenye oksijeni ya kutosha.

-Kupunguza uvimbe kwenye ovari na kizazi โ€“ Husaidia kutibu fibroids, ovarian cysts na endometriosis.

-Kuimarisha mbegu za kiume โ€“ Kwa wanaume, omega husaidia kuongeza idadi, nguvu na uimara wa mbegu.

-Kuzuia kuharibika kwa mimba โ€“ Kwa sababu ya uwezo wake wa kupunguza uvimbe na kulinda homoni, hupunguza hatari ya mimba kuharibika mapema.

๐ŸŒŸ Faida za Pamoja (Angel E + Choleduz Omega)

-Ngozi inakuwa safi, nyororo na yenye mngโ€™ao wa asili.

-Hupunguza ukavu ukeni, maumivu ya matiti, na kukosa hamu ya tendo la ndoa.

-Husaidia wanawake wenye matatizo ya hormonal imbalance, cyst, fibroids, PID na hedhi zisizo za kawaida.

-Huimarisha kinga na kuondoa msongo wa mawazo unaosababisha ngozi kuchoka na kushindwa kushika mimba.

-Huweka sawa uzazi kwa wanaume na wanawake โ€“ kuongeza ute wa uzazi, mayai yenye ubora, na mbegu imara.

๐Ÿ’ฐ Dozi na Bei
-Dozi ya Mwezi 1: Tsh 340,000/=
-Dozi ya Miezi 3: Tsh 1,020,000/=

๐Ÿ“ž Piga au WhatsApp: +255 767 716 093 ili kupata sasa hivi.
TShย 289,000.00

TShย 420,000.00