DOZI YA KUTIBU FIBROIDS (UVIMBE WA KIZAZI- Chini ya 5Cm); Dozi ya Miezi 3

Fibroids (uvimbe wa kizazi) ni changamoto kubwa kwa wanawake wengi. Mara nyingi husababisha:

-Hedhi nzito na za uchungu
-Maumivu ya tumbo na mgongo
-Shinikizo kwenye kibofu au rectum
-Kukosa ujauzito au kuharibika kwa mimba

πŸ‘‰ Habari njema ni kwamba unaweza kuondoa uvimbe bila upasuaji kwa kutumia mchanganyiko wa:

Tiba za Okoa Mwili; Tiba Za Asili 100%

Hizi dozi hufanya kazi ya kusafisha kizazi, kusawazisha homoni, kupunguza uvimbe hatua kwa hatua, na kuzuia uvimbe kujirudia tena.

NAMNA YA KUMALIZA UVIMBE BILA UPASUAJI

Dozi hutolewa kulingana na ukubwa wa uvimbe:

Uvimbe 5cm na kushuka
-Dozi: Sh 270,000/= kila mwezi
-Full dose (miezi 3 mfululizo): Sh 810,000/=

Uvimbe 5cm hadi 10cm
-Dozi: Sh 370,000/= kila mwezi
-Full dose (miezi 3 mfululizo): Sh 1,110,000/=

Uvimbe 10cm na zaidi
-Dozi: Sh 460,000/= kila mwezi
-Full dose (miezi 3 mfululizo): Sh 1,380,000/=

FAIDA ZA FIBROIDS

-Kusawazisha homoni – chanzo kikuu cha ukuaji wa fibroids.
-Kupunguza uvimbe hatua kwa hatua hadi kufutika kabisa.
-Kuzuia kuundwa kwa fibroids mpya baada ya matibabu.
-Kupunguza hedhi nzito na maumivu makali.
-Kusafisha kizazi na damu chafu inayoleta matatizo ya uzazi.
-Kuimarisha kinga ya mwili ili kupambana na uvimbe.
-Kurejesha uwezo wa kushika mimba kwa wanawake wanaotafuta mtoto.
-Kuboresha afya ya ini ambalo linasimamia usawa wa homoni.
-Kupunguza presha kwenye viungo vya nyonga (kibofu, mgongo, rectum).
-Kurejesha afya ya mwili kwa ujumla na kuondoa uchovu unaotokana na upotevu wa damu nyingi.

βœ… Ushauri wa Matumizi: Ili kupata matokeo ya uhakika, tumia dozi kwa miezi 3 mfululizo bila kusitisha, sambamba na lishe bora yenye mboga, matunda, maji ya kutosha na epuka vyakula vya kukaanga, sukari nyingi na nyama nyekundu. Piga au Whatsapp +255767716093
TShΒ 810,000.00

TShΒ 920,000.00